×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now

Suleiman Kagwe

Wafuasi wa Kindiki waingiwa na hofu baada ya Oburu kuitisha nafasi ya kuwa naibu rais

By Suleiman Kagwe   2025-11-06 16:42:44

Tayari, kundi la wanasiasa kutoka Meru wanaomuunga mkono Kindiki wametoa onyo kwa Rais Ruto kufuatia madai hayo ya ODM.

Wapima ardhi wanaonya ukataji wa miti na matumizi duni yanachochea maporomoko

By Suleiman Kagwe   2025-11-06 17:27:16

Kwa mujibu wa ISK, kuendelea kuharibiwa kwa misitu kumeosheleza udongo, kudhoofisha miinuko na kuvuruga mifumo ya asili ya maji ambayo husaidia kuzuia majanga kama haya.

Kisunzi cha shule hewa

By Suleiman Kagwe   2025-11-07 12:11:06

Shule nyungi nchini zinaendelea kufanya kazi huku zikiwa na idadi ndogo ya wanafunzi, na baadhi zikiripotiwa kutokuwa na mwanafunzi hata mmoja.

Rais Ruto kujipima ubabe wa Kisiasa na chaguzi ndogo

By Suleiman Kagwe   2025-11-10 15:49:09

Chaguzi ndogo zitakazofanyika tarehe 27 mwezi huu zinatarajiwa kuwa mchuano wa kihistoria kwa Rais William Ruto, akiwa katika harakati za kuhakikisha ana nafasi bora ya muhula wa pili mwaka 2027.

Mudavadi: Wakenya 400 watapeliwa kazi ughaibuni

By Suleiman Kagwe   2025-11-12 18:23:32

Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi alisema takribani Wakenya 400 wametapeliwa nafasi za kazi ughaibuni haswa nchini Vietnam, Urusi, Cambodia na Myanmar.

Mpango wa Ruto kuhudhuria shere za ODM 20 waibua msisimuko wa kisiasa

By Suleiman Kagwe   2025-11-14 07:26:54

Sherehe hizo zinafanyika kwa heshima ya Raila, ambaye alitarajiwa kuongoza hafla hiyo kabla ya kifo chake cha ghafla mnamo Jumatano, Oktoba tarehe 15.

Matokeo ya chaguzi ndogo, mtihani wa 2027

By Suleiman Kagwe   2025-11-27 09:19:35

Katika chaguzi ndogo za leo, uzito mkubwa haupo tu kwa wanaogombea, bali kwa ‘magodfather’ wa siasa ambao hawapo kwenye debe, lakini ndio wanaoweka kila kitu rehani.

Boni Khalwale angatuliwa kama kinara wa walio wengi bunge la Seneti

By Suleiman Kagwe   2025-12-02 17:52:06

Hatua hiyo imefungua ukurasa mpya katika uongozi wa Seneti, huku Seneta wa Bungoma, David Wafula Wakoli, akichaguliwa kuchukua nafasi hiyo mara moja.

Nyaribo aponea chupuchupu baada ya kuokolewa na Bunge la Seneti

By Suleiman Kagwe   2025-12-04 14:23:10

Jumla ya maseneta 38 walipigia kura kuunga mkono hoja hiyo, na hivyo kumpa nafasi ya kuepuka kusikilizwa kwa mashtaka kamili, baada ya kubainika kuwa Wawakilishi Wadi walikiuka sheria katika kura yao.

Mswada wa tawahudi (autism) walenga kuwasaidia waathiriwa na familia zao

By Suleiman Kagwe   2025-12-04 16:15:25

Mswada huo, uliodhaminiwa na Seneta Karen Nyamu, unapendekeza mfumo mpana wa kushughulikia mapungufu yaliyopo katika uchunguzi wa mapema na utoaji wa huduma maalum.

Gavana Wavinya Ndeti azindua kitovu cha kidijitali cha Athi River

By Suleiman Kagwe   2025-12-06 07:07:19

Gavana Ndeti amesema maendeleo si tu kuhusu barabara, afya, maji na nyenginezo ila pia ni kuhusu kuwezesha watu binafsi kimapato.

IEBC yatoa tahadhari kwa wanasiasa wanao vuruga chaguzi

By Suleiman Kagwe   2025-12-08 17:16:18

Tume ya IEB imetoa onyo kali kwa wanasiasa wanaodaiwa kuwatisha na kuingilia majukumu ya maafisa wa uchaguzi, ikisema vitendo hivyo vinahatarisha uadilifu wa chaguzi nchini.

NTSA yazuilia leseni za madereva 62 kwa utovu wa nidhamu

By Suleiman Kagwe   2025-12-09 16:31:41

NTSA ilisema uchunguzi wa uthibiti ulibaini ukiukaji mkubwa wa masharti ya usalama wa barabarani, ikiwemo mwendo kasi na kutofuata taratibu za uendeshaji barabarani.

Familia ya Betty Bayo yaomba serikali kuchunguza kiini cha kifo

By Suleiman Kagwe   2025-12-09 16:46:49

Mama wa mwanamuziki wa nyimbo za njili nchini Betty Bayo, amewasilisha rasmi ombi kwa Ofisi ya Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini ili kufunguliwa uchunguzi rasmi kuhusu kifo cha binti yake.

Truphena Muthoni avunja rekodi kwa kukumbatia mti saa 72

By Suleiman Kagwe   2025-12-11 13:31:03

Muthoni, mwenye umri wa miaka 22, alianza safari hiyo Jumatatu, Desemba 8, 2025, nje ya Ofisi ya Gavana wa Nyeri, akishuhudiwa na wananchi waliovutiwa na tukio hilo adimu.

Cyrus Jirongo afariki baada ya ajali barabarani

By Suleiman Kagwe   2025-12-13 10:47:55

Aliyekuwa Waziri na Mbunge wa zamani wa Lugari, Cyrus Jirongo, amefariki dunia kufuatia ajali ya barabarani eneo la Karai, Naivasha, kwenye barabara kuu ya Nairobi–Nakuru.