Tayari, kundi la wanasiasa kutoka Meru wanaomuunga mkono Kindiki wametoa onyo kwa Rais Ruto kufuatia madai hayo ya ODM.
Kwa mujibu wa ISK, kuendelea kuharibiwa kwa misitu kumeosheleza udongo, kudhoofisha miinuko na kuvuruga mifumo ya asili ya maji ambayo husaidia kuzuia majanga kama haya.
Shule nyungi nchini zinaendelea kufanya kazi huku zikiwa na idadi ndogo ya wanafunzi, na baadhi zikiripotiwa kutokuwa na mwanafunzi hata mmoja.
Chaguzi ndogo zitakazofanyika tarehe 27 mwezi huu zinatarajiwa kuwa mchuano wa kihistoria kwa Rais William Ruto, akiwa katika harakati za kuhakikisha ana nafasi bora ya muhula wa pili mwaka 2027.
Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi alisema takribani Wakenya 400 wametapeliwa nafasi za kazi ughaibuni haswa nchini Vietnam, Urusi, Cambodia na Myanmar.
Sherehe hizo zinafanyika kwa heshima ya Raila, ambaye alitarajiwa kuongoza hafla hiyo kabla ya kifo chake cha ghafla mnamo Jumatano, Oktoba tarehe 15.
Katika chaguzi ndogo za leo, uzito mkubwa haupo tu kwa wanaogombea, bali kwa ‘magodfather’ wa siasa ambao hawapo kwenye debe, lakini ndio wanaoweka kila kitu rehani.
Hatua hiyo imefungua ukurasa mpya katika uongozi wa Seneti, huku Seneta wa Bungoma, David Wafula Wakoli, akichaguliwa kuchukua nafasi hiyo mara moja.
Jumla ya maseneta 38 walipigia kura kuunga mkono hoja hiyo, na hivyo kumpa nafasi ya kuepuka kusikilizwa kwa mashtaka kamili, baada ya kubainika kuwa Wawakilishi Wadi walikiuka sheria katika kura yao.
Mswada huo, uliodhaminiwa na Seneta Karen Nyamu, unapendekeza mfumo mpana wa kushughulikia mapungufu yaliyopo katika uchunguzi wa mapema na utoaji wa huduma maalum.
Gavana Ndeti amesema maendeleo si tu kuhusu barabara, afya, maji na nyenginezo ila pia ni kuhusu kuwezesha watu binafsi kimapato.
Tume ya IEB imetoa onyo kali kwa wanasiasa wanaodaiwa kuwatisha na kuingilia majukumu ya maafisa wa uchaguzi, ikisema vitendo hivyo vinahatarisha uadilifu wa chaguzi nchini.
NTSA ilisema uchunguzi wa uthibiti ulibaini ukiukaji mkubwa wa masharti ya usalama wa barabarani, ikiwemo mwendo kasi na kutofuata taratibu za uendeshaji barabarani.
Mama wa mwanamuziki wa nyimbo za njili nchini Betty Bayo, amewasilisha rasmi ombi kwa Ofisi ya Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini ili kufunguliwa uchunguzi rasmi kuhusu kifo cha binti yake.
Muthoni, mwenye umri wa miaka 22, alianza safari hiyo Jumatatu, Desemba 8, 2025, nje ya Ofisi ya Gavana wa Nyeri, akishuhudiwa na wananchi waliovutiwa na tukio hilo adimu.
Aliyekuwa Waziri na Mbunge wa zamani wa Lugari, Cyrus Jirongo, amefariki dunia kufuatia ajali ya barabarani eneo la Karai, Naivasha, kwenye barabara kuu ya Nairobi–Nakuru.