×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Suleiman Kagwe

Miaka saba tangu shambulizi la kigaidi la Dusit D2

By Suleiman Kagwe   2026-01-15 16:48:08

Jiji la Nairobi limeadhimisha kumbukumbu ya miaka saba tangu shambulizi la kigaidi katika jengo la Dusit D2 lililotokea mwaka Januari 15, 2019

Hali ya ukame kuliko kawaida inatarajiwa katika maeneo ya Pwani ya Kenya

By Suleiman Kagwe   2026-01-28 16:19:10

Hata hivyo, hali ya ukame kuliko kawaida inatarajiwa katika maeneo ya pwani ya Kenya, hali inayohitaji tahadhari ya mapema kwa jamii na wadau wa sekta nyeti kama kilimo na maji.

Mgawanyiko ndani ya chama cha ODM unaibuka wazi

By Suleiman Kagwe   2026-02-11 12:16:54

Tawi la Linda Mwananchi linafanya kazi dhidi ya uongozi wa Oburu Odinga, likipinga mkataba wa makubaliano na UDA na kudai demokrasia ndani ya chama kupitia NDC.

Ukame mkali umeacha zaidi ya Wakenya milioni mbili wakikabiliwa na njaa

By Suleiman Kagwe   2026-02-11 12:29:37

Ukame mkali umeacha zaidi ya Wakenya milioni mbili wakikabiliwa na njaa, huku jamii za wafugaji katika eneo la Kaskazini Mashariki zikionekana kuathirika zaidi

Viongozi wakuu wa muungano wa upinzani wamshutumu Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja

By Suleiman Kagwe   2026-02-17 15:13:59

Viongozi wakuu wa Muungano wa Upinzani wamemshutumu Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kwa kupuuza mkutano muhimu wa kiusalama

Wanasayansi wagundua chanzo cha kuganda kwa damu lililohusishwa chanjo za COVID-19

By Suleiman Kagwe   2026-02-17 15:19:01

Wanasayansi wamegundua chanzo halisi cha tatizo adimu sana la kuganda kwa damu lililohusishwa na baadhi ya chanjo za COVID-19 zinazotumia kirusi aina ya adenovirus

Kenya kuondoa maafisa wake wa polisi Haiti

By Suleiman Kagwe   2026-03-10 12:52:44

Waziri mwenye Mamlaka Makuu, Musalia Mudavadi ametangaza kuwa maafisa wa polisi wa Kenya waliokuwa wametumwa nchini Haiti sasa wataanza kurejea nyumbani

Zimwi la saratani ya utotoni: Uchunguzi na utambuzi wa kuchelewa unasababisha vifo

By Suleiman Kagwe   2026-04-07 16:12:56

Viwango vya kuishi kwa watoto wenye saratani bado vinatofautiana sana kati ya nchi zenye kipato cha juu na zile zenye kipato cha chini, hali inayochangiwa na changamoto nyingi zinazohusiana.

Gachagua aondoa rasmi ombi lake la kurejeshwa madarakani

By Suleiman Kagwe   2026-04-28 11:27:23

Rigathi Gachagua, ameondoa rasmi ombi lake la kurejeshwa madarakani katika kesi yake inayoendelea mahakamani ya kupinga mchakato wa kuondolewa kwake madarakani.

Urithi wa kihistoria: Uhusiano usio na utulivu kati ya Kenya na Afrika Kusini

By Suleiman Kagwe   2026-04-29 16:55:22

Mnamo mwaka wa 1997, ndege ya Nelson Mandela ilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, na zulia jekundu lilikuwa tayari limetandazwa.